"Karibu kwenye Ulimwengu maridhawa wa Maisha Bora kwa kila mwenye ndoa"!
Mwandishi mwandamizi na mhariri wa gazeti la Champion, Saleh Ally 'Muneke', akimpongeza Abdula Mohamed kwa kumuwahi kuchukua jiko.
Mhariri msaidizi wa Champion, Elius Kambili, akimpa Big Up, aliyewahi kuwa mhariri wake wakati akifanya kazi Kampuni ya New Habari kabla ya kuhamia Global Publishers.
"Wala usijali mshikaji wangu na mie nipo nyuma yako, ila yangu nadhani itakuwa ni mwezi wa nane mwakani, si unajua mambo yalivyokuwa magumu? najipanga kwanza"
Vicent, akimpongeza Abdula, kwani watu hawa walihsawahi kufanya kazi pamoja kampuni ya New Habari.
"Kaka Hongera sana, ila mie usiniulize ntaoa lini ntakuwa sina majibu ya fasta fasta, usijientia aibu bure"
"Ebwana eeeh! hongera sana kwa kuwahi kutangaza nia kabla yangu na kuwin, mie mwenzio mwezi wa tano mwakani nitakuwa kama wewe" teh teh teh!
"Aaah! Mhariri wangu hongera sana, umetuonyesha mfano bora nasie tutafuata, ila mie mwenzio bado nipo nipo saaana tu kwani wala sijui kati ya wale wakinananiliu nimchague nani"
"Wala usijali mshikaji wangu na mie nipo nyuma yako, ila yangu nadhani itakuwa ni mwezi wa nane mwakani, si unajua mambo yalivyokuwa magumu? najipanga kwanza"
"Kaka Hongera sana, ila mie usiniulize ntaoa lini ntakuwa sina majibu ya fasta fasta, usijientia aibu bure"
No comments:
Post a Comment