Mkurugenzi Masoko TBL David Minja(katikati) akikabidhi viafaa vya michezo kwa Katibu wa Klabu ya Simba Evodius Mtawala (kushoto) na Katibu wa Yanga Lawrance Mwalusako (kushoto kwake) wakati wa hafka hiyo ya kukabidhi vifaa vya michezo kwa Vilabu hivyo kwa maandalizi ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara inayotarajia kuanza January 15 mwakani.
SERIKALI YAPELEKA TABASAMU KWA WANAWAKE,VIJANA NA WENYE ULEMAVU MTWARA
-
Na Mwandishi wetu, Mtwara.
Serikali kupitia Ofisi ya Halmashauri ya Mtwara Mikindani imekabidhi vifaa
saidizi na kiasi cha shilingi milioni 342 ikiwa n...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment