Mkurugenzi Masoko TBL David Minja(katikati) akikabidhi viafaa vya michezo kwa Katibu wa Klabu ya Simba Evodius Mtawala (kushoto) na Katibu wa Yanga Lawrance Mwalusako (kushoto kwake) wakati wa hafka hiyo ya kukabidhi vifaa vya michezo kwa Vilabu hivyo kwa maandalizi ya mzunguko wa pili wa Ligi Kuu ya Tanzania Bara inayotarajia kuanza January 15 mwakani.
CAF Yaruhusu Milango Wazi: Mashabiki Kuingia Bure Viwanjani AFCON 2025
-
Shirikisho la Mpira wa Miguu Barani Afrika (CAF) limeruhusu mashabiki
kuingia bure kwenye viwanja vinavyohodhi mechi teule za Kombe la Mataifa ya
Afrika...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment