Gari hili lenye uwezo wa kubeba abiria saba limetengenezwa Mkoani Sumbawanga na mmoja kati ya wajasiliamari, ambalo lilifikishwa katika maonyesho ya Sido ya mikoa ya nyanda za juu kusini yaliyokuwa yakifanyika katika uwanja wa Samora mjini Iringa. Gari hili liliweza kuwavutia watu wengi katika maonyesho hayo.
RAIS DKT.SAMIA ATETA NA WAZIRI MKUU MSTAAFU JAJI WARIOBA
-
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwa
kwenye picha ya pamoja na Waziri Mkuu Mstaafu Mhe. Jaji Joseph Sinde
Warioba...
47 minutes ago
No comments:
Post a Comment