Habari za Punde

*WANACHUO WA MZUMBE WAPOKEA SHAHADA ZAO

Baadhi ya wahitimu wa Chuo Kikuu cha Mzumbe, waliovaa majoho kutoka (kushoto) mhitimu wa Shahada ya Sheria, Abia Richard, mhitimu wa Shahada ya Utawala (Menejimenti Serikali za Mitaa) Juliana Kajery, Mhitimu wa Shahada ya Biashara, Uhasibu na Fedha, Lilian Kagashe na mhitimu wa Shahada ya Uhasibu na Fedha, Jeru Katondo, wakiwa na furaha baada ya kutunukiwa shahada zao katika sherehe za maafali ya 9 ya Chuo hicho yaliyofanyika chuoni hapo Morogoro jana. Kulia ni ndugu wa wahitimu hao, Grace na (kushoto) ni Tina.

WAHITIMU WA CHUO NA WATOTO WAO
Kutoka kulia ni Kalongo Geofrey, akiwa na mtoto wake Judith miaka (3), Jeru Kasika na mwanae Pendo miaka 2 na nusu na Abia Richard na mwanae Marry Godfrey mwenye umri wa miezi 4, wakipozi kwa picha baada ya kutunukiwa shahada zao.


No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.