Marehemu Dan Mapigano, enzi za uhai wake.
Rais Dr.Jakaya Mrisho Kikwete, akitoa heshima za mwisho kwa Marehemu Jaji Dan Mapigano nyumbani kwake Mwenge jijini Dar es Salaam leo asubuhi. Marehemu Dan atazikwa leo jijini Dar es Salaam. Picha na Freddy Maro
Rais Mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi, akitoa mkono wa pole kwa Mjane mke wa Marehemu Dan, Florence Mapigano, wakati wa shughuli za kuaga mwili wa marehemu zilizofanyika kwenye Viwanja vya Mnazi mmoja jijini Dar es Salaam leo mchana.
Mwenyekiti wa Chama cha Majaji wastaafu, Thomas Mihayo, akisoma risala kwa niaba ya wanachama wa chama hicho wakati wa shughuli za kuaga mwili wa marehemu leo.
Kutoka (kulia) Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta, mkewe Magreth Sitta, Mke wa Marehemu Dan, Florence Mapigano, mtoto wa marehemu na Getrude Mongela, wakiwa katika shughuli ya kuaga mwili wa marehemu kwenye Viwanja vya Mnazi Mmoja.
RC KIHONGOSI AZINDUA MSIMU WA PILI WA ARUSHA JOGGING SPORTS CLUB AHIMIZA
AMANI NA MSHIKAMANO
-
Na Pamela Mollel,Arusha
Mkuu wa Mkoa wa Arusha, Mhe. Kenan Kihongosi, leo Julai 19, 2025, ameongoza
mamia ya wakazi wa Arusha kushiriki mazoezi ya pamoja ...
10 minutes ago
No comments:
Post a Comment