Waziri Mkuu wa India Mhe. Dkt. Manmohan Singh (katikati) akisalimiana na Mbunge wa Singida Mjini Mhe. Mohammed Dewji, katika hafla fupi ya chakula cha jioni kilichoandaliwa na Balozi wa India nchini katika Hoteli ya Kempinski jijini Dar hivi karibuni. Wa kwanza kushoto ni Mke wa waziri Mkuu wa India Mama Gursharan Kaur.
VIJIJI 11 TARIME KUANZA KUPATA MAJI SAFI YA MRADI WA UPANUZI NYANGOTO
UNAOTEKELEZWA KWA FEDHA ZA BARRICK NORTH MARA
-
Matenki ya maji ambayo ni sehemu ya utekelezaji wa upanuzi wa chanzo cha
mradi utakuwa ukitoa huduma ya kwa vijiji vyote 11 vilivyo ndani ya mgodi
wa Nort...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment