Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Marta Santos Pais, Mwakilishi maalum wa Katibu wa Umoja wa Mataifa anayehusika na harakati za kutokomeza unyanyasaji wa watoto, wakati alipofika ofisini kwake Ikulu Dar es Salaam kwa ajili ya mazungumzo kuhusu ripoti ya unyanyasaji wa watoto inayohusu hali ya Tanzania na inayotarajiwa kuwasilishwa rasmi hivi karibuni.
GENERAL MAMADI DOUMBOUYA WON BABACAR NDIAYE AFRICA ROAD BULDERS 2026
-
The members of the Selection Committee of The Africa Road Builders –
Trophée Babacar NDIAYE met on April 17, 2026, in Abidjan, Côte d’Ivoire, as
part ...
8 hours ago

No comments:
Post a Comment