Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akizungumza na Marta Santos Pais, Mwakilishi maalum wa Katibu wa Umoja wa Mataifa anayehusika na harakati za kutokomeza unyanyasaji wa watoto, wakati alipofika ofisini kwake Ikulu Dar es Salaam kwa ajili ya mazungumzo kuhusu ripoti ya unyanyasaji wa watoto inayohusu hali ya Tanzania na inayotarajiwa kuwasilishwa rasmi hivi karibuni.
Mama Malema awatakia kheri Rais Dkt Samia Suluhu Hassan, na Mgombea mwenza
Dkt Emmanuel Nchimbi, wagombea wa CCM Uchaguzi Mkuu Tanzania
-
Mwanachama na kada wa muda mrefu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mama
Jacqueline Malema Daniel, ametuma salamu za kheri na pongezi kwa wagombea
wote wa chama...
19 minutes ago

No comments:
Post a Comment