Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama, Katibu wa NEC, Uchumi na Fedha, Mwigulu Nchemba na wana-CCM wengine waliokuwa wakifuatilia matokeo kutoka kwa mawakala walio kwenye vituo katika uchaguzi mdogo jimbo la Igunga ,wakishangilia baada ya CCM kuonyesha matumaini ya kuongoza katika matokeo ya awali usiku wa kuamkia leo.
KWA UWEKEZAJI HUU TANZANIA LAZIMA ICHOMOZE
-
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imeanza rasmi safari ya
mapinduzi ya kifikra na kiuchumi kupitia mfumo mpya wa elimu unaolenga
kuifanya nch...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment