Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama, Katibu wa NEC, Uchumi na Fedha, Mwigulu Nchemba na wana-CCM wengine waliokuwa wakifuatilia matokeo kutoka kwa mawakala walio kwenye vituo katika uchaguzi mdogo jimbo la Igunga ,wakishangilia baada ya CCM kuonyesha matumaini ya kuongoza katika matokeo ya awali usiku wa kuamkia leo.
NANAUKA ATOA MAAGIZO NANE KWA MAAFISA MAENDELEO YA VIJANA NCHINI
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana Joel Nanauka ametoa rai
kwa Maafisa Maendeleo ya Vijana nchini kuha...
31 minutes ago

No comments:
Post a Comment