Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama, Katibu wa NEC, Uchumi na Fedha, Mwigulu Nchemba na wana-CCM wengine waliokuwa wakifuatilia matokeo kutoka kwa mawakala walio kwenye vituo katika uchaguzi mdogo jimbo la Igunga ,wakishangilia baada ya CCM kuonyesha matumaini ya kuongoza katika matokeo ya awali usiku wa kuamkia leo.
GALARZA APIGA BONGE LA BAO PARAGUAY YAICHAPA UTURUKI 1-0 MAREKANI
-
TIMU ya Paraguay imeibuka na ushindi wa 1-0 dhidi ya Uturuki katika mchezo
wa Kundi D Fainali za Kombe la Dunia Asubuhi ya leo Uwanja wa Levi's, Santa
Cl...
6 hours ago

No comments:
Post a Comment