Katibu Mkuu wa CCM, Wilson Mukama, Katibu wa NEC, Uchumi na Fedha, Mwigulu Nchemba na wana-CCM wengine waliokuwa wakifuatilia matokeo kutoka kwa mawakala walio kwenye vituo katika uchaguzi mdogo jimbo la Igunga ,wakishangilia baada ya CCM kuonyesha matumaini ya kuongoza katika matokeo ya awali usiku wa kuamkia leo.
CHAN 2024 : Dar Kuzizima Ufunguzi wa CHAN24
-
Na Rahel Pallangyo
ARDHI ya Tanzania kwenye mji wenye pilikapilika, Dar es Salaam Agosti 2,
mwaka huu katika Uwanja wa Benjamin Mkapa utashuhudiwa uf...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment