Kikosi cha timu ya Taifa 'Taifa Stars' kitaagwa leo jioni kuanzia mida ya saa 1 kabla ya kwenda Chad kwa ajili ya mechi ya mchujo ya Kombe la Dunia. Hafla hiyo ya kuagwa itafanyika katika hoteli ya New Africa.
Tuwakatae kwa nguvu zote wachochezi wanaotaka kuturudisha Oktoba 29
-
Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa
Kagera, Faris Buruhani, amewataka vijana kuendelea kulinda amani na utulivu
wa nc...
10 hours ago

No comments:
Post a Comment