Kikosi cha timu ya Taifa 'Taifa Stars' kitaagwa leo jioni kuanzia mida ya saa 1 kabla ya kwenda Chad kwa ajili ya mechi ya mchujo ya Kombe la Dunia. Hafla hiyo ya kuagwa itafanyika katika hoteli ya New Africa.
NIRC, JKT ZAUNGANA KUONGEZA UZALISHAJI KUPITIA UMWAGILIAJI
-
📍 Mlimba, Kilombero – Morogoro
Shamba la Chita JKT, lenye ukubwa wa ekari 12,000 zinazolimwa, limepangwa
kuwa mfano wa ushirikiano kati ya Jeshi la Kuje...
3 hours ago

No comments:
Post a Comment