Waziri wa Nishati na Madini William Ngeleja (kushoto) akifafanua jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari baada ya hafla fupi ya kuweka saini mikataba mitatu ya uatafiti wa mafuta kutoka kampuni za nje iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana. (Kulia) ni Kamishna Msaidizi wa Nishati (Petroleum na Gas ) Prosper Victus. Picha na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO
MUUNGANO CARAVAN KUZINDULIWA DAR ES SALAAM KUKUZA UZALENDO NA ELIMU YA
MUUNGANO
-
Wananchi wa Jiji la Dar es Salaam wanatarajiwa kushuhudia uzinduzi wa
kampeni maalum ya kitaifa ijulikanayo kama Muungano Caravan, yenye lengo la
kue...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment