Waziri wa Nishati na Madini William Ngeleja (kushoto) akifafanua jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari baada ya hafla fupi ya kuweka saini mikataba mitatu ya uatafiti wa mafuta kutoka kampuni za nje iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana. (Kulia) ni Kamishna Msaidizi wa Nishati (Petroleum na Gas ) Prosper Victus. Picha na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO
Biashara : Ecobank Tanzania Yatoa Elimu ya Huduma za Kifedha Maonesho ya
Sabasaba
-
Ecobank Tanzania imeendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu huduma
mbalimbali za kifedha kupitia ushiriki wake katika Maonesho ya 50 ya
Kimataifa ya Bi...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment