Waziri wa Nishati na Madini William Ngeleja (kushoto) akifafanua jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari baada ya hafla fupi ya kuweka saini mikataba mitatu ya uatafiti wa mafuta kutoka kampuni za nje iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana. (Kulia) ni Kamishna Msaidizi wa Nishati (Petroleum na Gas ) Prosper Victus. Picha na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO
AMREF TANZANIA YAPOKEA MILIONI 100 KUTOKA NBC DODOMA MARATHON 2025
KUBORESHA HUDUMA KWA WATOTO WENYE USONJI
-
Mgeni rasmi wa NBC Dodoma Marathon 2025, Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa
Nishati, Mhe. Dkt. Doto Mashaka Biteko akimkabidhi mfano wa hundi yenye
thamani ya...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment