Pages

Karibuni Katika ukurasa wa Sufiani Mafoto, jipatie Habari Motomoto na Matukio Mbali Mbali yanayojiri kila siku.Pia Tunakaribisha Matangazo Ya Aina mbalimbali kwa gharama Nafuu Kabisa.Kwa mawasiliano +255 655 306 109.Nyote Mnakaribishwa.

Tuesday, January 24, 2012

*NGELEJA ASAINI MIKATABA MITATU YA UTAFITI WA MAFUTA NCHINI

Waziri wa Nishati na Madini William Ngeleja (kushoto) akifafanua  jambo wakati  wa mkutano na waandishi wa habari baada ya hafla fupi ya kuweka saini mikataba mitatu ya uatafiti wa mafuta kutoka kampuni za nje iliyofanyika  jijini Dar es Salaam jana. (Kulia) ni Kamishna Msaidizi wa Nishati (Petroleum na Gas )  Prosper Victus. Picha na Mwanakombo Jumaa- MAELEZO

0 idadi ya maoni:

Post a Comment

WANAOTEMBELEA BLOG