Gari dogo linalotumia Umeme badala ya mafuta, likiongeza chaji katika eneo lililomaalum kwa kuchajia magari ya aina hiyo, kama lilivyonaswa na kamera ya Sufianimafoto hivi karibuni, nchini Uingereza, Jijini london. Magari kama haya ni rahisi kutumia ambapo likielekea kuisha Chaji dereva kutafuta mahala palipomaalum kwa kuchajia katika mitaa ya jiji hilo pembezoni mwa barabara na kuchomeka chaji na kisha kuliacha kwa muda kadhaa. Lakini magari kama haya yakienea nchini kwetu na kutokana na umeme wa magumashi si magari yatajaa barabarani kwa kuishiwa na umeme?
EWURA YAPEWA KONGOLE NA MKUU WA WILAYA YA ILEJE KWA KUELIMISHA WADAU WA
MAFUTA NA GESI
-
Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) leo, tarehe 12
Julai 2025 imeendesha semina ya kuwajengea uelewa wadau wa mafuta na gesi
ya ku...
22 minutes ago
No comments:
Post a Comment