Gari dogo linalotumia Umeme badala ya mafuta, likiongeza chaji katika eneo lililomaalum kwa kuchajia magari ya aina hiyo, kama lilivyonaswa na kamera ya Sufianimafoto hivi karibuni, nchini Uingereza, Jijini london. Magari kama haya ni rahisi kutumia ambapo likielekea kuisha Chaji dereva kutafuta mahala palipomaalum kwa kuchajia katika mitaa ya jiji hilo pembezoni mwa barabara na kuchomeka chaji na kisha kuliacha kwa muda kadhaa. Lakini magari kama haya yakienea nchini kwetu na kutokana na umeme wa magumashi si magari yatajaa barabarani kwa kuishiwa na umeme?
TANZANIA YAPIGA BAO DUNIANI: MRADI WA PANDA HILL KUIFANYA MBEYA KITOVU CHA
MADINI ADIMU
-
Tanzania imepiga hatua nyingine muhimu ya kihistoria katika kuimarisha
uchumi wa viwanda na biashara za kimataifa baada ya Serikali kusaini
mkataba wa ...
16 minutes ago

No comments:
Post a Comment