Gari dogo linalotumia Umeme badala ya mafuta, likiongeza chaji katika eneo lililomaalum kwa kuchajia magari ya aina hiyo, kama lilivyonaswa na kamera ya Sufianimafoto hivi karibuni, nchini Uingereza, Jijini london. Magari kama haya ni rahisi kutumia ambapo likielekea kuisha Chaji dereva kutafuta mahala palipomaalum kwa kuchajia katika mitaa ya jiji hilo pembezoni mwa barabara na kuchomeka chaji na kisha kuliacha kwa muda kadhaa. Lakini magari kama haya yakienea nchini kwetu na kutokana na umeme wa magumashi si magari yatajaa barabarani kwa kuishiwa na umeme?
CEOrt, TWCC kushirikiana ushiriki wa wanawake katika kukuza uchumi wa
biashara
-
Mkurugenzi Mtendaji wa Jukwaa la Watendaji Wakuu nchini (CEO Roundtable of
Tanzania-CEOrt) B. Santina Benson (kulia) akiwa katika picha ya pamoja na
Mk...
58 minutes ago

No comments:
Post a Comment