Gari dogo linalotumia Umeme badala ya mafuta, likiongeza chaji katika eneo lililomaalum kwa kuchajia magari ya aina hiyo, kama lilivyonaswa na kamera ya Sufianimafoto hivi karibuni, nchini Uingereza, Jijini london. Magari kama haya ni rahisi kutumia ambapo likielekea kuisha Chaji dereva kutafuta mahala palipomaalum kwa kuchajia katika mitaa ya jiji hilo pembezoni mwa barabara na kuchomeka chaji na kisha kuliacha kwa muda kadhaa. Lakini magari kama haya yakienea nchini kwetu na kutokana na umeme wa magumashi si magari yatajaa barabarani kwa kuishiwa na umeme?
MAKAMU WA RAIS ASHIRIKI UWEKAJI JIWE LA MSINGI LA UKARABATI MKUBWA WA RELI
YA TAZARA
-
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Balozi Dkt. Emmanuel
Nchimbi amesema ukarabati wa reli ya TAZARA utaimarisha Ukanda wa Kati na
Kusi...
12 hours ago

No comments:
Post a Comment