Habari za Punde

*RAIS JAKAYA AKUTANA NA MAKAMU WA RAIS WA IRAN NA MJUMBE WA RAIS WA BURUNDI IKULU DAR ES SALAAM LEO

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Makamu wa Rais wa Iran Mh. Muhammad Reza Rahimi, Ikulu jijini Dar es salaam leo kwa mazungumzo. Kiongozi huyo yuko nchini kwa ziara ya kikazi. Katikati yao ni mkalimani. Picha na Ikulu
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea ujumbe maalum wa Serikali ya Burundi kutoka kwa Mh. Martin Nivyabandi, Waziri wa Maendeleo ya Jamii wa nchi hiyo,  Ikulu jijini Dar es salaam leo.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.