Gari la Zimamoto la Manispaa ya Jiji ya Dar es Salaam, likiwa limepiga mweleka katika Barabara ya Morogoro eneo la Magomeni Kagera leo asubuhi, wakati gari hilo likiwa kwenye mwendo mkali na kumshinda dereva wa gari hilo. Kutokana na ajali hiyo barabara hiyo ilifungwa kwa muda jambo ambalo lilisababisha msongamano mkubwa mahala hapo. Picha na Mdau Kajunason.
EWURA KANDA YA KASKAZINI YAWANOA VIONGOZI WA WILAYA YA KOROGWE
-
*Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kupitia Kanda ya
Kaskazini, leo tarehe 5 Machi 2026 imetoa elimu kwa viongozi wa Wilaya ya
Kor...
18 minutes ago

No comments:
Post a Comment