Gari la Zimamoto la Manispaa ya Jiji ya Dar es Salaam, likiwa limepiga mweleka katika Barabara ya Morogoro eneo la Magomeni Kagera leo asubuhi, wakati gari hilo likiwa kwenye mwendo mkali na kumshinda dereva wa gari hilo. Kutokana na ajali hiyo barabara hiyo ilifungwa kwa muda jambo ambalo lilisababisha msongamano mkubwa mahala hapo. Picha na Mdau Kajunason.
MHE. MCHENGERWA AWAOMBA WANARUFIJI WOTE DUNIANI KUJA KUMPOKEA RAIS SAMIA.
-
Na Yohana Kidaga- Muhoro, Rufiji
Mgombea wa Ubunge Jimbo la Rufiji, Mhe. Mohamed Mchengerwa ametoa wito kwa
Wanarufiji na Wandengereko wote duniani kufik...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment