Gari la Zimamoto la Manispaa ya Jiji ya Dar es Salaam, likiwa limepiga mweleka katika Barabara ya Morogoro eneo la Magomeni Kagera leo asubuhi, wakati gari hilo likiwa kwenye mwendo mkali na kumshinda dereva wa gari hilo. Kutokana na ajali hiyo barabara hiyo ilifungwa kwa muda jambo ambalo lilisababisha msongamano mkubwa mahala hapo. Picha na Mdau Kajunason.
Latricia Ian Ndiye Malkia wa Tanzania 2026
-
Latricia Ian ameibuka mshindi wa *Miss World Tanzania 2026* akibeba
mchanganyiko wa adabu, akili iliyopevuka, na kiu ya dhati ya kuacha alama
kwenye ...
15 minutes ago

No comments:
Post a Comment