Gari la Zimamoto la Manispaa ya Jiji ya Dar es Salaam, likiwa limepiga mweleka katika Barabara ya Morogoro eneo la Magomeni Kagera leo asubuhi, wakati gari hilo likiwa kwenye mwendo mkali na kumshinda dereva wa gari hilo. Kutokana na ajali hiyo barabara hiyo ilifungwa kwa muda jambo ambalo lilisababisha msongamano mkubwa mahala hapo. Picha na Mdau Kajunason.
GCLA INAENDELEA KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KATIKA MAONESHO SABASABA
-
Mkurugenzi Mkuu wa Mamlakla ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA), Dkt. Adam Fimbo
(kulia) akisaini kitabu cha wageni alipotembelea banda la Mamlaka ya
Maabara ya ...
51 minutes ago
No comments:
Post a Comment