Gari la Zimamoto la Manispaa ya Jiji ya Dar es Salaam, likiwa limepiga mweleka katika Barabara ya Morogoro eneo la Magomeni Kagera leo asubuhi, wakati gari hilo likiwa kwenye mwendo mkali na kumshinda dereva wa gari hilo. Kutokana na ajali hiyo barabara hiyo ilifungwa kwa muda jambo ambalo lilisababisha msongamano mkubwa mahala hapo. Picha na Mdau Kajunason.
NAIBU WAZIRI KIHENZILE ATEMBELEA BANDA LA TCAA MKUTANO WA 18 WA PAMOJA WA
MAPITIO YA SEKTA YA USAFIRISHAJI
-
Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. David Kihenzile, Disemba 15, 2025
ametembelea banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) katika
Mkutano wa 18 wa P...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment