Gari la Zimamoto la Manispaa ya Jiji ya Dar es Salaam, likiwa limepiga mweleka katika Barabara ya Morogoro eneo la Magomeni Kagera leo asubuhi, wakati gari hilo likiwa kwenye mwendo mkali na kumshinda dereva wa gari hilo. Kutokana na ajali hiyo barabara hiyo ilifungwa kwa muda jambo ambalo lilisababisha msongamano mkubwa mahala hapo. Picha na Mdau Kajunason.
RAIS SAMIA ATUNUKIWA SHAHADA YA UZAMIVU YA HESHIMA RUDN, URUSI LEO
-
Rais Samia Suluhu Hassan amesema Shahada ya Uzamivu ya Heshima (Honoris
Causa) aliyotunukiwa na Chuo Kikuu cha Urafiki wa Watu wa Urusi- (RUD...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment