Mtandao huu wa www.sufianimafoto.blogspot.com, unawatakia heri ya Sikukuu ya Christmas, Wadau wote wa mtandao huu na Wasomaji wake wote popote walipo Duniani, Mungu awazidishie na awajaalie muweze kusherekea vyema na kumaliza salama mbio za kuelekea kuumaliza mwaka huu wa 2012 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2013. Na hii ni kutokana na mtandao huu kutambua mchango wa kila mmoja wenu wewe unayesoma mtandao huu na wale wote ambao kwa namna moja ama nyingine mnafanikisha kuuwezesha mtandao huu kuweza kuzidi kuwa hewani na kujitanua zaidi kwa kuongeza wasomaji wa ndani na nje ya nchi. MARRY CHRISTMASS & HAPPY NEW YEAR
RAIS SAMIA ATOA BIL 19.6 UJENZI WA MIRADI YA ELIMU (SEQUIP) MKOANI NJOMBE
-
Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe Rais Dkt Samia Suluhu Hassan
imetoa shilingi Bilioni 19.6 kwa ajili ya Mradi wa Kuboresha Ubora wa Elimu
ya S...
6 hours ago
nawe pia.
ReplyDelete