Askari Poilisi, wakikatiza katika mitaa ya Posta karibu kabisa na Ofisi za Mkurugenzi Mkuu wa Mashitaka DPP, kulinda amani na kujiandaa kuwakabili waandamanaji wanaodaiwa waislam waliopanga kuandamana hadi katika Ofisi hizo leo baada ya swala ya Ijumaa wakiwa na lengo la kushinikiza kuachiwa kwa Sheikh Ponda. Askari hao wamelazimika kutumia mabomu ya machozi ili kuwatawanya waandamani hao ambapo baadhi yao wanashikiliwa na polisi kwa kukaidi amri iliyotolewa na Jeshi la Polisi ya kutoandamana.
UKWELI KUHUSU TUME ZA KIJAJI: NI USHAHIDI WA KIHISTORIA UNAOWASHAWISHI
MARAIS KUCHUKUA HATUA KALI ZA KUBADILI MAMBO
-
Uundaji wa Tume za Kijaji nchini Tanzania umekuwa chombo muhimu na
madhubuti cha kisheria kinachotumiwa na Wakuu wa Nchi pale kunapojitokeza
malalamiko ...
7 hours ago

No comments:
Post a Comment