Habari za Punde

*BREAKING NEEEWZ!! MABOMU YARINDIMA MITAA YA KARIAKOO KUWATAWANYA WAANDAMANAJI

Askari Poilisi, wakikatiza katika mitaa ya Posta karibu kabisa na Ofisi za Mkurugenzi Mkuu wa Mashitaka DPP, kulinda amani na kujiandaa kuwakabili waandamanaji wanaodaiwa waislam waliopanga kuandamana hadi katika Ofisi hizo leo baada ya swala ya Ijumaa wakiwa na lengo la kushinikiza kuachiwa kwa Sheikh Ponda. Askari hao  wamelazimika kutumia mabomu ya machozi ili kuwatawanya waandamani hao ambapo baadhi yao wanashikiliwa na polisi kwa kukaidi amri iliyotolewa na Jeshi la Polisi ya kutoandamana.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.