Askari Poilisi, wakikatiza katika mitaa ya Posta karibu kabisa na Ofisi za Mkurugenzi Mkuu wa Mashitaka DPP, kulinda amani na kujiandaa kuwakabili waandamanaji wanaodaiwa waislam waliopanga kuandamana hadi katika Ofisi hizo leo baada ya swala ya Ijumaa wakiwa na lengo la kushinikiza kuachiwa kwa Sheikh Ponda. Askari hao wamelazimika kutumia mabomu ya machozi ili kuwatawanya waandamani hao ambapo baadhi yao wanashikiliwa na polisi kwa kukaidi amri iliyotolewa na Jeshi la Polisi ya kutoandamana.
TAIFA STARS YATOA SARE NA SUDAN 1-1 SAUDI ARABIA
-
TIMU ya taifa ya Tanzania imetoa sare ya kufungana bao 1-1 na Sudan katika
mchezo wa kirafiki leo Uwanja wa King Fahd Sport City mjini Ta'if, Saudi
Arabi...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment