Askari Poilisi, wakikatiza katika mitaa ya Posta karibu kabisa na Ofisi za Mkurugenzi Mkuu wa Mashitaka DPP, kulinda amani na kujiandaa kuwakabili waandamanaji wanaodaiwa waislam waliopanga kuandamana hadi katika Ofisi hizo leo baada ya swala ya Ijumaa wakiwa na lengo la kushinikiza kuachiwa kwa Sheikh Ponda. Askari hao wamelazimika kutumia mabomu ya machozi ili kuwatawanya waandamani hao ambapo baadhi yao wanashikiliwa na polisi kwa kukaidi amri iliyotolewa na Jeshi la Polisi ya kutoandamana.
MWENEZI PWANI : HOTUBA YA RAIS DKT. SAMIA IMETOA DIRA YA MATUMAINI KWA
TAIFA LETU
-
Na Khadija Kalili, Kibaha
KATIBU Katibu wa Siasa ,Uenezi na Mafunzo Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa
Pwani Dkt. David Mramba amesema kuwa hotuba ya Mh...
14 minutes ago

No comments:
Post a Comment