WAWAKILISHI pekee wa Tanzania timu ya Azam Fc, leo tena imeendelea kufanya vizuri katika mchezo wake wa Kombe la Shirikisho, baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya BYC II ya Lyberia, mchezo uliopigwa kwenye Uwanja wa ATS, Jijini Monrovia. Mchezo huo ni wa kwanza ambapo Azam imejiweka katika nafasi nzuri ya kufanya vizuri katika mchezo wake wa marudiano unaotarajia kupigwa hapa nyumbani hivi karibuni. Hadi timu hizo zinakwenda mapumziko Azam ilikuwa tayari imelala kwa bao 1-0, ambapo bao la kusawazisha na la kuongoza yalipatikana katika kipindi cha pili.
KONGAMANO LA TAWEN MBEYA LIMELETA ELIMU NA FURSA
-
Mtandao wa Uwezeshaji Wanawake Tanzania (TAWEN) umeendelea kuonesha dhamira
yake ya dhati ya kuwawezesha wanawake na vijana kupitia kongamano kubwa
li...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment