Dkt. Mwile Malecela (kushoto) akipokea kadi ya uanachama kutoka kwa askofu mkuu mstaafu wa makanisa ya Anglikana Dkt. Valentino Mokiwa wa (umaki)usharika wa mama wa kikristo, wakati wa maadhimisho ya sherehe yao ya kumbukumbu ya mama mariamu iliyofanyika jana katika kanisa la Anglikana Kawe jijini Dar es Salaam.
Dkt. Mwile Malecela (kushoto) akipongezwa baada ya kupokea kadi ya uanachama kutoka kwa askofu mkuu mstaafu wa makanisa ya Anglikana Dkt. Valentino Mokiwa wa (umaki)usharika wa mama wa kikristo, wakati wa maadhimisho ya sherehe yao ya kumbukumbu ya mama mariamu iliyofanyika jana katika kanisa la Anglikana Kawe jijini Dar es Salaam.








No comments:
Post a Comment