Mshambuliaji wa Azam Fc, John Boco, akiwatoka mabeki wa Far Rabat ya Morocco, wakati wa mchezo wa kwanza wa Raundi ya Tatu, Kombe la Shirikisho Afrika, uliochezwa kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, leo jioni. Katika mchezo huo timu hizo zimetoka suluhu 0-0, huku waarabu hao wa Morocco, wakijigamba kufanya kweli katika mchezo wa marudiano ambao wao watakuwa wenyeji huko kwao. Picha na Bin Zubeiry
CAF Yaruhusu Milango Wazi: Mashabiki Kuingia Bure Viwanjani AFCON 2025
-
Shirikisho la Mpira wa Miguu Barani Afrika (CAF) limeruhusu mashabiki
kuingia bure kwenye viwanja vinavyohodhi mechi teule za Kombe la Mataifa ya
Afrika...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment