Bondia Iddy Mkwera, akinyooshwa mkono juu baada ya kumgalagaza, Lucas Ndula,katika pambano lao la mabondia wa Dar na Muheza, Mkwera alishinda kwa pointi katika pambano hilo la raundi sita lililoandaliwa kwa ajili ya kuinua mchezo wa ngumi Wilaya ya Muheza na kusherekea sikukuu ya Pasaka.



No comments:
Post a Comment