Habari za Punde

*KIKOSI CHA USALAMA BARABARANI CHAKABIDHIWA VITABU 4,800 NA KAMPUNI YA PUMA ENERGY TZ (BP)

 Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani – SACP. Mohammed R. 
Mpinga (kushoto) akikabidhiwa Kitabu chenye maelekezo mbali 
mbali ya Usalama Barabarani na Maneja wa Kampuni ya PUMA – 
Mr. Philippe Corsaletti (kulia). Makabidhiano hayo yalifanyika
 katika ukumbi wa mikutano wa PUMA tarehe 18/04/2013 ambapo vilikabidhiwa vitabu 4,800.
Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani – SACP. Mohammed R. 
Mpinga” (kushoto) akionyesha Kitabu cha Usalama Barabarani kwa 
baada ya kukabidhiwa na Maneja wa Kampuni ya PUMA – Mr. Philippe Corsaletti” (kulia). Makabidhiano hayo yalifanyika katika ukumbi wa mikutano wa PUMA tarehe 18/04/2013 ambapo vilikabidhiwa vitabu 
4,800.
Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani – SACP. Mohammed R. 
Mpinga” na ‘’Maneja wa Kampuni ya PUMA – Mr. Philippe Corsaletti” wakijadiliana jambo wakati wa makabidhiano ya Kitabu cha Usalama Barabarani. Makabidhiano hayo yalifanyika katika ukumbi wa 
mikutano wa PUMA tarehe 18/04/2013.
Maneja wa Kampuni ya PUMA – Mr. Philippe Corsaletti” (katikati) 
akielezea mambo muhimu jinsi Kampuni yake ya PUMA itakavyokuwa inashirikiana na jeshi la Polisi katika kupambana na Ajali za Barabarani 
kwa vitendo. Maneja huyo alitoa maelezo hayo mbele ya Maafisa wa Jeshi 
la Polisi na Askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani wakati wa makabidhiano ya Kitabu cha Usalama Barabarani. Makabidhiano hayo yalifanyika katika ukumbi wa mikutano wa PUMA tarehe 18/04/2013.
Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani – SACP. Mohammed R. 
Mpinga” na ‘’Maneja wa Kampuni ya PUMA – Mr. Philippe Corsaletti” 
wakiwa katika picha ya pamoja kati ya wafanyakazi wa PUMA , Maafisa
 na Askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani wakati wa makabidhiano 
ya Kitabu cha Usalama Barabarani Makabidhiano hayo yalifanyika 
katika ukumbi wa mikutano wa PUMA tarehe 18/04/2013.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.