Habari za Punde

*AJALI HAINA KINGA

 Baadhi ya abiria waliokuwa katika gari lililogongana na gari ndogo (pichani chini) wakilia baada ya kutokea ajali karubu kabisa na maeneo ya njia panda ya Kunduchi, wakati mabinti hao na wenzao wakiwa safarini kuelekea Bagamoyo kama kundi kuhudhuria Bonanza la familia, mwishoni mwa wiki iliyopita. 
Baadhi ya abiria waliokuwa katika Coaster hilo, na mashuhuda wakijadili alaji hiyo. Katika ajali hiyo hakuna aliyejeruhiwa zaidi ya magari kuumia.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.