Habari za Punde

*BALOZI WA MARIE STOPES TANZANIA 2013, NARIETA BONIFACE AKABIDHIWA CHETI MAALUM CHA UKARIBISHO

Balozi wa Marie Stopes Tanzania 2013, Mrembo Narieta Boniface ambaye pia ni Miss Chang'ombe 2013 na Miss Temeke mshindi wa 3. akikabidhiwa cheti maalum na Mkurugenzi Mkazi wa Marie Stopes Tanzania madame, Uller Muller, katika ofisi zao zilizopo Sinza Jijini Dar es Salaa, leo hii, ikiwa ni ishara ya kukaribishwa rasmi katika Taasisi hiyo ambayo mrembo huyo atakuwa akifanya kazi za kuhamasisha vijana hususan wasichana kujikinga na mimba zisizotarajiwa kwa kutumia njia za uzazi wa mpango. Picha na HIDAN RICCO.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.