Habari za Punde

* ZIARA YA RAIS DK.SHEIN PEMBA

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akiteremka katika ndege ya Serikali alipowasili katika uwanja wa Ndege wa Karume Pemba,akiwa katika ziara ya wiki moja kisiwani huko.
Akisalimiana na baadhi ya Viongozi baada ya kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Pemba. KUSOMA ZAIDI BOFYA READ MORE
Picha juu na chini Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, akisalimiana na Viongozi mbali mbali na Wanancchi, alipowasili katika uwanja wa Ndege wa Karume Pemba
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akifungua  pazia kama isara ya uzinduzi wa kituo cha kununulia  Karafuu cha Chanjaani-Mtambwe Wilaya ya Wete Kaskazini Pemba
Dkt. Shein akiangalia Karafuu...
Picha juu na chini, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akiangalia Karafuu katika kituo cha Chanjaani-Mtambwe Wilaya ya Wete Pemba baada ya kkukifua rasmi kituo hicho cha kununulia zao hilo

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akipata maelezo kutoka kwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Biashara na Viwandana Masoko Rashid Ali Salim,(wa pili kulia)alipotembelea Kituo cha Ununuzi wa Karafuu cha Mzambarauni Wilaya ya Wete Pemba
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akipata maelezo kutoka kwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Biashara na Viwandana Masoko Rashid Ali Salim,(wa pili kulia)alipotembelea Kituo cha Ununuzi wa Karafuu cha Mzambarauni Wilaya ya Wete Pemba
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,na Mkewe Mama Mwanamwema Shein,wakipata maelezo kutoka kwa  Shaibu Hamadi Ali,alipotembelea Kituo Mzambarauni     akiwa katika ziara ya wiki moja Kisiwani Pemba. Picha zote na Ramadhan Othman,Ikulu.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.