Habari za Punde

*TRENI YA MWAKYEMBE ILIVYOWASOTESHA ABIRIA JANA

Baadhi ya wananchi waliofika mida ya saa 11 za jioni  jana wakitaraji kupata usafiri wa treni la Mwakyembe, bila mafanikio. Hii imetokana na kutokea kwa hitilafu kwenye Enjinin ya Treni hiyo. 


Baadhi ya abiria wakiwa wamepumzika baada ya kukata tamaa kwa kusubiri usafiri huo jana kwa muda mrefu. 

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.