Habari za Punde

*AJALI NYINGINE YAUA 10 YAJERUHI ZAIDI YA 40 SHINYANGA

 Ajali nyingine imetokea leo Kijiji cha Ibingo Kata ya Samuye, huko mkoani Shinyanga iliyohusisha Basi la Unit na Roli la Kampuni ua Cocacola, ambapo imeelezwa kuwa ajali hiyo imeua jumla ya watu 10 na kujeruhi zaidi ya watu 40.
 Basi hilo likiinuliwa.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.