Habari za Punde

*MAMA SAMIA SULUHU ALIPOUNGURUMA JIJINI MWANZA JAN

Mgombea Mwenza wa Urais kwa timeti ya CCM, Mama Samia Suluh Hassan akihutubia mkutano wa kampeni uliofanyika katika eneo la Kisesa  jana katika jimbo la Magu mkoani Mwanza
  Wananchi wakimshangilia mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan alipohutubia mkutano wa kampeni katika eneo la Kisesa jimbo la Magu mkoani Mwanza. 
 Wananchi wakiwa wamezuia msafara wa Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama samia Suluhu,  katika eneo la Sumve mkoani Mwanza. 
Mbwa akipiga Push Up katikati ya watu, kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika, eneo la Kisesa katika jimbo la Magu mkoani Mwanza. KUSOMA ZAIDI BOFYA READ MORE
 Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Mwanza Anthony Diallo (kulia) akijadiliana jambo na Katibu wa CCM wa mkoa huo, Miraji Mtaturu (kushoti) katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika eneo la Kisesa, jimbo la Magu mkoani Mwanza. Katikati ni Mkuu wa Wilaya ya Nyamagana, Baraka Konisaga.
 Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Mama Samia Suluhu Hassan akijadiliana jambo na Mgombea Ubunge jimbo la Magu, Kiswaga Destery katika mkutano wa kampeni uliofanyika eneo la Kisesa mkoani Mwanza. 
 Kijana akiwa na bango la kumfagilia Mgombea Urais kwa tiketi ya CCM, Dk. John Magufuli katika mkutano wa kampeni uliofanyika katika eneo la Kisesa jimbo la Magu mkoani Mwanza. 
Wagombea Udiwani jimbo la Magu, wakiwasalimia wananchi walipotambulishwa na Mgombea Mwenza wa Urais kwa tiketi ya CCM, Katika mkutano wa kampeni uliofayika  katika eneo la Kisesa mkoani Mwanza. 
Pichani juu ni mgombea mwenza wa nafasi ya urais Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mama Samia Suluhu Hassan akizungumza na wananchi baada ya kusimamishwa barabarani katika Jimbo la Sumve alipokuwa akipita kuelekea Wilaya ya Magu katika mkutano wa kampeni uliofanyika Kata ya Kisesa Jimbo la Magu.
Baadhi ya wananchi na wanaCCM wa Kata ya Ngudu Jimbo la Kwimba wakiwa katika mkutano wa hadhara wa kampeni wa mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Mama Samia Suluhu Hassan (hayupo pichani) leo mkoani Mwanza.
Baadhi ya wananchi na wanaCCM wa Kata ya Ngudu Jimbo la Kwimba wakiwa katika mkutano wa hadhara wa kampeni wa mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Mama Samia Suluhu Hassan (hayupo pichani) leo mkoani Mwanza.
Mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Mama Samia Suluhu Hassan (mwenye ushungi) akisalimiana na baadhi ya viongozi na wanaCCM mara baada ya kuwasili Kata ya Ngudu Jimbo la Kwimba kuhutubia mkutano wa hadhara wa kampeni za CCM uliofanyika leo mkoani Mwanza.
Mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Mama Samia Suluhu Hassan (wa kwanza kushoto) akisaini kitabu cha wageni mara baada ya kuwasili Kata ya Ngudu Jimbo la Kwimba kuhutubia mkutano wa hadhara wa kampeni za CCM uliofanyika leo mkoani Mwanza. Kulia ni mgombea ubunge wa Jimbo la Kwimba, Mansoor Shanif Hirani.
Mkutano wa hadhara ukiendelea Jimbo la Kwimba
Baadhi ya wanaCCM na makada wa Chama Cha Mapinduzi wakiwa na mabango yenye jumbe anuai kwa mgombea mwenza kwenye mkutano wa hadhara Mji mdogo wa Ngudu.
Msanii Snura Majanga akiimba na kucheza baadhi ya nyimbo zake kuwaburudisha wananchi waliokusanyika katika mkutano wa hadhara wa mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Mama Samia Suluhu Hassan ulofanyika Jimbo la Kwimba leo mkoani Mwanza.
Sehemu ya wananchi na wanaCCM wa Kata ya Ngudu Jimbo la Kwimba wakiwa katika mkutano wa hadhara wa kampeni wa mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Mama Samia Suluhu Hassan (hayupo pichani) leo mkoani Mwanza.
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mwanza, Antony Diallo akizungumza na wanaCCM na wananchi katika mkutano wa hadhara wa  mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Mama Samia Suluhu Hassan ulofanyika Kata ya Ngudu Jimbo la Kwimba leo mkoani Mwanza.
Moja ya kikundi sanaa (kwaya) kikiwaburudisha wananchi na wanaCCM wa Kata ya Kisesa katika mkutano wa hadhara wa kampeni za mgombea mwenza wa CCM nafasi ya urais, Mama Samia Suluhu Hassan.
Baadhi ya wanaCCM na makada wa Chama Cha Mapinduzi wakiwa na mabango yenye jumbe anuai kwa mgombea mwenza kwenye mkutano wa hadhara Kata ya Kisesa Jimbo la Magu, Mkoani Mwanza. Picha na Bashir Nkoromo

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.