Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akifanya kazi ofisini kwake Ikulu jijini Dar es salaam kwa mmara ya mwisho leo Novemba 4, 2015 kabla ya kukabidhi madaraka kwa Rais wa awamu ya Tano anayetarajiwa kuapishwa kesho Dkt John Pombe Joseph Maguful.
KIKWETE AITAKA WHI KUBORESHA MFUMO WA KIDIJITALI KUVUTIA UWEKEZAJI MPANA
-
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora, Ridhiwan Kikwete
ameitaka Watumishi Housing Investment (WHI) kuendeleza mfumo wa kidijitali
wa kis...
2 hours ago

No comments:
Post a Comment