Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akifanya kazi ofisini kwake Ikulu jijini Dar es salaam kwa mmara ya mwisho leo Novemba 4, 2015 kabla ya kukabidhi madaraka kwa Rais wa awamu ya Tano anayetarajiwa kuapishwa kesho Dkt John Pombe Joseph Maguful.
IAA na Chuo Kikuu cha Heriot Watt cha Uingereza kufungua milango ya elimu
kimataifa
-
Na Mwandishi Wetu,
Arusha, Tanzania – Mkuu wa Chuo cha Uhasibu Arusha (IAA), Profesa Eliamani
Sedoyeka, amesema kuwa makubaliano ya ushirikiano (MOU...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment