Habari za Punde

*TAZARA YAPOKEA MABEHEWA 18 NA VICHWA 4 KUTOKA SERIKALI YA CHINA

  Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Dkt. Shaabani Mwinjaka akipanda kwenye moja ya vichwa 4 vya treni ya Tazara vilivyotolewa na Serikali ya China.
  Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Reli la Tanzania na Zambia (TAZARA) Ronald Phiri, akitia saini mkataba wa makabidhiano.
Makamu wa Rais wa CCECC kutoka Serikali ya Watu wa China Lin Zhiyong akisaini makabidhiano.
 Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Reli la Tanzania na Zambia (TAZARA) Ronald Phiri akibadilishan hati za makabidhiano ya mabehewa 18 na vichwa 4 vya treni na Makamu wa Rais wa CCECC kutoka Serikali ya Watu wa China Lin Zhiyong.
  Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Dkt. Shaabani Mwinjaka (katikati) akikata utepe pamoja na Balozi wa Zambia nchini Tanzania Judith Kapijimpanga (kushoto) na Mwakilishi wa Balozi wa China nchini Tanzania, wakikata utepe kuashiria kukabidhiwa kwa kwa mabehewa 18 na vichwa 4 kutoka Serikali ya China.
  Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Dkt. Shaabani Mwinjaka na Balozi wa Zambia nchini Tanzania Judith Kapijimpanga, wakielekea kupanda kwenye treni ya kichwa na mabehewa mapya ya TAZARA.
 Moja kati ya mabehewa hayo mapya yanavyoonekana kwa ndani.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Dkt. Shaabani Mwinjaka na Balozi wa Zambia nchini Tanzania Judith Kapijimpanga (kulia) wakibadilishana mawazo wakiwa ndani ya sehemu ya kulia chakula iliyomo kwenye moja ya behewa jipya.Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji TAZARA, Ronald Phiri na Mwakilishi wa Balozi wa China.
  Moja ya kichwa kipya na mabahewa 18 mapya yaliyokabidhiwa kwa TAZARA.
  Moja ya kichwa kipya na mabahewa 18 mapya yaliyokabidhiwa kwa TAZARA.
Baadhi ya maafisa kutoka Serikali ya Watu wa China na wafanyakazi wa Mamlaka ya Reli la Tanzania na Zambia (TAZARA), wakishuhudia utiaji saini wa makabidhiano ya mabehewa 18 na vichwa 4 kutoka Serikali ya Watu wa China. Picha na Hussein Makame-MAELEZO

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.