Habari za Punde

*MABONDIA SADIQ MOMBA NA BAINA MAZOLA WASAINI KUZIPIGA MARCH 5 TASUBA BAGAMOYO

Mabondia Sadiq Momba (kushoto) na Baina Mazola, wakitambiana baada ya kutia saini  mkataba wa kuzipiga march 5 katika ukumbi wa Tasuba Bagamoyo mkoani pwani. Katikati ni promota Muhsin Sharif.

Promota wa mchezo wa masumbwi Muhsin Shsaarif (katikati) akiwa na mabondia Sadiq Momba (kushoto) na Baina Mazola  baada ya mabondia hao kutiliana saini ya mkataba wa kuzipiga march 5 katika ukumbi wa Tasuba Bagamoyo mkoa wa Pwani.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.