Habari za Punde

*WAZIRI NAPE AKUTANA NA BALOZI WA ISRAEL NCHINI TANZANIA, WAAHIDI KUSHIRIKIANA KATIKA SEKTA ZA HABARI NA UTAMADUNI

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe, Nape Nnauye (kushoto)akimkaribisha Balozi wa Israel nchini Tanzania Bw.Yahel Vilan, Ofisini kwake wakati alipomtembelea leo jijini Dar es Salaam.
  Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye (kulia)akifurahia jambo naB Balozi wa Israel nchini Tanzania Bw.Yahel Vilan alipomtembelea ofisini kwake jijini Dar es Salaam, leo. Katika mazungumzo yao wamekubaliana kuimarisha ushirikiano uliokuwepo na kuangalia sehemu Zaidi za kushirikiana katika sekta za Habari na Utamaduni.
Balozi wa Israel nchini Tanzania Bw.Yahel Vilan( kushoto)akimpongeza Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe, Nape Nnauye, kwa kuchaguliwa kuwa Waziri pamoja na kumpatia zawadi ya kitabu na kikombe kutoka Israel alipomtembelea ofisini kwake leo jijini Dar es Salaam.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.