Gari dogo likiwa limeteketea kwa moto pembezeni mwa barabara ya Goba kama lilivyonaswa na kamera ya Mafoto Blog, hivi karibuni. Haikuweza kufahamika mara moja chanzo cha gari hilo kuteketea kwa moto na kubaki frame.
TANGA CEMENT YAWA YA KWANZA KWA KUUZA HISA STAHIKI ZENYE THAMANI KUBWA
KULIKO ZOT
-
OFISA Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana(CMSA), CPA.
Nicodemus Mkama amesema Kampuni ya Saruji Tanga imeweka historia ya kuwa
kampun...
47 minutes ago


No comments:
Post a Comment