Kijana ambaye hakuweza kufahamika jina lake mara moja akiwa juu ya bati akifua na kuanika nguo kama alivyokutwa na Kamera ya Mafoto Blog, eneo la Tandale Sokoni hivi karibuni, haikuweza kufahamika kwa haraka sababu za kijana huyo kufanyia shughuli hizo akiwa juu ya bati.
Viongozi Maliasili Wafanya “Royal Tour” Hifadhi ya Manyara
-
Unaweza kusema urasi (legacy) ya Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri
ya Muungano wa Tanzania, katika filamu ya “Tanzania: The Royal Tour” ni
ngumu ku...
27 minutes ago




No comments:
Post a Comment