Kijana ambaye hakuweza kufahamika jina lake mara moja akitandaza nyavu za kuvulia samaki katika maji yaliyojaa kwenye Uwanja wa Jangwani kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam.
TWENDE TUKAENDELEE KUTEKELEZA MAGEUZI YA ELIMU: PROF. MKENDA.
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mhe. Prof. Adolf Mkenda ametoa Wito
kwa Umoja wa Wakuu wa Shule za msingi za ...
5 hours ago


No comments:
Post a Comment