Hawa ni baadhi tu ya Kinamama wanaofanya shughuli ya kuomba msaada katika maeneo ya katikati ya jiji la Dar es Salaam, wakiwa pembezoni mwa barabara ya Bibi Titi pamoja na familia zao ambapo wengi wao wamekuwa wakiwatumia watoto wao kufanya shughuli hizo huku wao wakisubiri pembeni kupokea mapato.
TANGA CEMENT YAWA YA KWANZA KWA KUUZA HISA STAHIKI ZENYE THAMANI KUBWA
KULIKO ZOT
-
OFISA Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana(CMSA), CPA.
Nicodemus Mkama amesema Kampuni ya Saruji Tanga imeweka historia ya kuwa
kampun...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment