Hawa ni baadhi tu ya Kinamama wanaofanya shughuli ya kuomba msaada katika maeneo ya katikati ya jiji la Dar es Salaam, wakiwa pembezoni mwa barabara ya Bibi Titi pamoja na familia zao ambapo wengi wao wamekuwa wakiwatumia watoto wao kufanya shughuli hizo huku wao wakisubiri pembeni kupokea mapato.
TADB YASHIRIKI UZINDUZI WA WIKI YA CHAKULA DUNIANI KITAIFA MKOANI TANGA
-
Wiki ya Maadhimisho ya Chakula Duniani Kitaifa imefunguliwa rasmi leo
tarehe 11 Oktoba 2025 na Mkuu wa Mkoa wa Tanga, Mhe. Balozi Batilda
Buriani, katika v...
40 minutes ago
No comments:
Post a Comment