Dereva wa daladala lenye namba za usajiri T 159 BFU (kushoto) na wa gari ndogo lenye namba za usajili T277 CLD, wakizungumza kukubariana baada ya kugongana katikati ya Dimbwi kubwa na maji yaliyotuama katikati ya barabara eneo la Keko . Eneo hilo limeharibika na kujaa maji kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha jijini Dar es Salaam, na kusababisha msongamano wa magari eneo hilo.
Waziri wa Maendeleo ya Kimataifa wa Canada awasili nchini kwa ziara ya
Kikazi
-
Waziri wa Maendeleo ya Kimataifa wa Canada Mhe. Randeep Sarai amewasili
nchini kwa ziara ya kikazi ya siku Tatu.
Mhe. Sarai anatarajiwa kutembelea miradi m...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment