Wafanyabiashara wa Pilipili ya kupika wakisubiri wateja nje ya Soko la Kivukoni eneo la Kituo cha Mabasi ya Mwendo kasi, kama walivyokutwa na mpiga picha wetu jijini Dar es Salaam, jana. Kina mama hao wameulalamikia uongozi wa Soko hilo kwa kuwaamuru walinzi shirikishi kuwafukuza eneo hilo na wengine kuwanyang'anya biashra zao kwa madai ya kutowahitaji katika eneo hilo.
DKT.NCHIMBI ATUA KIGOMA KUSAKA KURA ZA USHINDI WA KISHINDO ZA DKT. SAMIA.
-
PICHA mbalimbali za Mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Emmanuel Johnn Nchimbi
akiwasili ka...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment