Vijana wakichimba mchanga kwenye Mto Msimbazi eneo la Magomeni Mzimuni, jijini Dar es Salaam, kama walivyonaswa na kamera ya Mafoto Blog jana. Pamoja na serikali kupiga marufuku uchimbaji hovyo wa mchanga lakini bado kumekuwa na vijana wengi nyakati za mvua kuchimba kiholela mchanga katika mito jambo ambalo linasababisha uharibifu wa mazingira.
DKT.NCHIMBI ATUA KIGOMA KUSAKA KURA ZA USHINDI WA KISHINDO ZA DKT. SAMIA.
-
PICHA mbalimbali za Mgombea mwenza wa Urais wa Jamhuri ya Muungano wa
Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Emmanuel Johnn Nchimbi
akiwasili ka...
42 minutes ago
No comments:
Post a Comment