Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt John Pombe Magufuli akiwa na Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa pamoja na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Kijazi na Naibu Waziri wa Nishati Dkt Medard Kalemani katika kikao na ujumbe wa wataalamu wa Sekta ya Nishati toka nchini Uganda na Tanzania waliompatia taarifa ya maendeleo ya utafiti wa mafuta katika bonde la bonde la ufa ya Eyasi Wembere la Ziwa Tanganyika Ikulu jijini Dar es salaam leo Oktoba 5, 2017. Picha na Ikulu
MNADA WA MADINI YA VITO WAONGEZA UWAZI NA KUDHIBITI UTOROSHAJI NCHINI
-
Arusha, Novemba 27, 2025
Sekta ya madini inaendelea kunufaika na mageuzi ya kidijitali, baada ya
mfumo wa mnada wa madini ya vito kupitia Soko la Bidhaa Ta...
2 hours ago


No comments:
Post a Comment