Waziri Mkuu, Mizengo Pinda, akisalimiana na Balozi wa Rwanda nchini, Fatuma Ndangiza (katikati) na Mshauri Balozi (1st. Counsellor) Shakilla Umutoni, kabla ya kuanza kwa mazungumzo yao, yaliyofanyika ofisi ya Waziri Mkuu jijini Dar es salaam leo mchana. Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu
TANFOAM MARATHON ARUSHA YAZINDULIWA RASMI KWA MSIMU WA PILI
-
Na Pamela Mollel, Arusha
Mashindano ya Tanfoam Marathon yamezinduliwa rasmi kwa msimu wa pili,
yakitarajiwa kufanyika tarehe 7 Desemba 2025 jijini Arus...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment