Kocha wa mchezo wa Masumbwi, Abdalah Ilamba 'Komandoo' akimfanyisha mazoezi ya kukaza misuli ya tumbo bondia, Francis Cheka, katika kambi yake jijini Dar es salaam. Chaka anajiandaa na mpambano wake na Mada Maugo utakaofanyika jumamosi ya wiki hii katika ukumbi wa PTA Sabasaba ambapo mshindi atakuwa bingwa wa Mkanda wa I.B.F na atanyakua Zawadi ya gari. Cheka ametamba kuibuka na ushindi katika pambano hilo na kuondoka na gari analodai ameandaliwa yeye. Picha na Super D
Migodi ya Barrick Tanzania yatoa elimu ya usalama kazini na utunzaji wa
Mazingira kwenye maonesho ya OSHA.
-
Baadhi ya Wafanyakazi wa Barrick wakishiriki zoezi la kupanda miti katika
hospitali ya jiji la Arusha.
Wafanyakazi wa Barrick wakiwa na wafanyakazi w...
54 minutes ago
No comments:
Post a Comment