Bondia Fransic Cheka (kushoto) akisaini mkataba wa makubaliano ya kupambana na Japhet Kaseba siku ya Sabasaba, ambapo itakuwa ni baada ya pambano lake na Mada Maugo linalotarajia kufanyika siku ya Jumamosi katika Ukumbi wa PTA jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Mshauli wa Cheka, Oscar George na Promota wa mpambano huo Kaike Silaju (katikati) Picha na Super D