Kaimu Mwenyekiti wa Taasisi za Elimu ya Juu Tanzania (THTU), Dk. Elifraha Mtalo, akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo wakati wa akitoa tamko la Taasisi hiyo ya kutounga mkono tamko lililotolewa na Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA), kuhusu kuendesha mgomo wa wafanyakazi nchi nzima, Taasisi hiyo imefikia maamuzi hayo kwa kile ilichodai haikushirikishwa katika kutoa maamuzi kabla ya kutoa tamko hilo. Kushoto ni Kaimu Katibu wa Taasisi hiyo, Kulu Maswanya.
Kamati ya Ukaguzi TARURA yatembelea Miradi minne ya barabara Shinyanga
-
Shinyanga
IKIWA katika muendelezo wa ziara yake ya kutembelea utekelezaji wa miradi
ya ujenzi wa miundombinu ya barabara, Kamati ya Ukaguzi ya TARUR...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment