Kaimu Mwenyekiti wa Taasisi za Elimu ya Juu Tanzania (THTU), Dk. Elifraha Mtalo, akizungumza na waandishi wa habari, Dar es Salaam leo wakati wa akitoa tamko la Taasisi hiyo ya kutounga mkono tamko lililotolewa na Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi (TUCTA), kuhusu kuendesha mgomo wa wafanyakazi nchi nzima, Taasisi hiyo imefikia maamuzi hayo kwa kile ilichodai haikushirikishwa katika kutoa maamuzi kabla ya kutoa tamko hilo. Kushoto ni Kaimu Katibu wa Taasisi hiyo, Kulu Maswanya.
TCCA YAMPONGEZA DKT. NASRA KUSAIDIA SEKTA YA ANGA
-
Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania TCAA kupititiakwa mkurugenzi wake
Ramadhani Msangi imempongeza Mkurugenzi wa kituo cha afya cha Aerospace
Medical and...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment