"Hata Hapa inafaa wakiona ndani bei kubwa watakuja weeeenyeweeee"
Mfanyabiashara wa chakula 'Mama Lishe' akimhudumia mteja wake kwa kumpimia sahani ya ubwabwa, akiwa pembezoni mwa barabara nje ya Viwanja vya Sabasaba, kama alivyonaswa na Kamera ya Sufianimafoto na hii inaonyesha ni jinsi gani wafanyabiashara wadogo wanashindwa kumudu gharama za ushuru ili kujenga mabanda ndani ya viwanja hivyo na pia inaonekana kuwa bei ya vyakula ndani ya viwanja hivyo ni ghari kiasi cha kuwashinda baadhi ya wafanyakazi wa mabanda na kuamua kutoka nje ili kutafuta angalau bei nafuu kama unavyomcheki jamaa huyu ikionekana kamba ya kitambulisho shingoni alitoka ndani na kuja eneo hili kujisevia.
HALI YA MAAMBUKIZI YA VVU YAPUNGUA MKOANI GEITA
-
Hali ya Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI kwa mkoa wa Geita imepungua kutoka
asilimia 4.9 ya mwaka 20121/2022 mpaka asilimia 4.3 ya mwaka 2025.
Hayo yame...
9 hours ago
No comments:
Post a Comment