Habari za Punde

*WAZIRI WA USHIRIKIANO WA AFRIKA MASHARIKI AKUTANA NA WAHARIRI DAR

Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Deodorus Kamala, akizungumza wakati wa mkutano na wahariri wa vyombo vya habari uliofanyika jijini Dar es Salaam leo, kuhusu utendaji na utekelezaji kazi wa wizara hiyo kwa kipindi cha miaka minne.




No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.