Askari Polisi wanaolinda Benki ya NBC, wakimhoji dereva wa gari ndogo yenye namba za usajiri T 792 BBW, baada ya kuegesha gari hilo pembezoni mwa barabara ya Azikiwe karibu na Benki hiyo, haikuweza kufahamiaka chanzo cha askari hao kuacha lindo lao katika benki na kwenda kwa pamoja kuanza kumuhoji dereva huyo ama ni kwanini asingebaki askari mmoja lindoni na mmoja kufanya kazi hiyo? Eti kuna nini hapa Mdau??.......
HALI YA MAAMBUKIZI YA VVU YAPUNGUA MKOANI GEITA
-
Hali ya Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI kwa mkoa wa Geita imepungua kutoka
asilimia 4.9 ya mwaka 20121/2022 mpaka asilimia 4.3 ya mwaka 2025.
Hayo yame...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment