"Eti hawa nao pia walikuwapo, Si fitina ya Soka tu bali hata Siasa wamo"
Katibu Mkuu wa Shirikisho la mpira wa miguu nchini, Federick Mwakalebela na anayemaliza muda wake wa uenyekiti wa klabu ya Yanga ya Dar es Salaam wakifurahi jambo wakati Mwenyekiti wa CCM na mgombea Urais kupitia Chama hicho, Jakaya Kikwete akirudisha fomu mjini Dodoma leo.
HALI YA MAAMBUKIZI YA VVU YAPUNGUA MKOANI GEITA
-
Hali ya Maambukizi ya Virusi vya UKIMWI kwa mkoa wa Geita imepungua kutoka
asilimia 4.9 ya mwaka 20121/2022 mpaka asilimia 4.3 ya mwaka 2025.
Hayo yame...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment