akizungumza baada ya kutangazwa matokeo naye kuibuka kidedea kwa kuwamwaga wapinzani wake Masoud Sanani aliyepata kura 11 na Mpoki Bukuku, aliyepata kura 8 tu.
mwenzao Maulid Kitenge baada ya kutangazwa matokeo ambapo Kitenge aliibuka kidedea kwa kura 37 kati ya kura 79 zilizopigwa, akifuatiwa na Shafii aliyepata kura 31 huku nafasi ya mwisho
kati ya wagombea hao ikichukuliwa na Tom Chilala aliyejipatia jumla ya kura 11.
Duh! Sijui watanimwaga?
HII ILIKUWA NI KAMPENI YA UKAILA AMA?
Mgombea nafasi ya Makamu Mwenyekiti, Shafii Dauda (kushoto) akijadiliana jambo na Mahmud
Zubeir na Timzoo Kalugila wakati zoezi la kupiga kura likiendelea ukumbini humo.
Baadhi ya wananchama wakiwa kwenye foleni ya kwenda kupiga kura, huku mmoja wao akiwa
amevali Tshirt yenye ujumbe madhubuti kuhusiana na uchaguzi unaohamasisha kuchagua viongozi walio Bora
Mgombea aliyeibuka kidedea katika nafasi ya Uenyekiti, Juma Pinto, akijinadi kwa wanachama
kabla ya kuanza kwa uchaguzi huo.
Baadhi ya Wajumbe na wanachama wa Chama cha Waandishi wa habari za Michezo, Taswa, wakiwa kwenye Ukumbi wa Manispaa ya Kinondoni jijini Dar es Salaam wakati wa mchakato mzima wa kuchagua viongozi wapya wa chama hicho, ambapo uchaguzi huo umeweza kufanyika na kumalizika kwa amani.
Zubeir na Timzoo Kalugila wakati zoezi la kupiga kura likiendelea ukumbini humo.
amevali Tshirt yenye ujumbe madhubuti kuhusiana na uchaguzi unaohamasisha kuchagua viongozi walio Bora
kabla ya kuanza kwa uchaguzi huo.
No comments:
Post a Comment