Askari wa Usalama barabarani wa Kituo cha Polisi Songea aliyefahamika kwa jina moja la David, akilikagua gari dogo linalotumika maalum kwa kulimia baada ya kulikamata kwenye makutano ya barabara ya Sokoine na Makambako. Mmiliki wa gari hilo amekuwa akilitumia gari hilo kwa shughuli mbalimbali ikiwa ni pamoja na kubebea watu badala ya shughuli za Kilimo huku likikatiza katika mitaa ya mjini kinyume na sheria za usalama barabarani.
Tanzania Kuendeleza Uwiano kati ya Maendeleo ya Uchumi, Uendelevu wa
Mazingira na Usalama wa Bahari
-
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud
Thabit Kombo, amesema Tanzania inaendelea kujizatiti kusawazisha maendeleo
ya kiu...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment