Habari za Punde

*MGAMBO WA KIKE WAKIWA DORIA MKOBA WA NINI?

MKOBA WA NINI?
Afande wa kike, Mgambo wa Manispaa ya Ilala Jijini Dar es Salaam, akiwa kwenye doria mtaa wa Kongo huku akiwa na mkoba wake na kirungu tena na vazi la kazi haikuweza kufahamika sababu za mgambo huyo kuwa katika mavazi hayo huku akiwa na mkoba wake, sijui anaogopa kuibiwa huko mahala wanapobadilishia nguo ama ndo vile tena mambo flani huwekwa humo baada ya kuwapoka Machinga?

Mgambo wa Manispaa ya Ilala wakiwa Mtaa wa Kongo Jijini Dar es Salaam leo mchana, katika lindo ambalo ni maalum kuwazuia wafanyabiashara wadogo wadogo kufanya biashara kwenye mtaa huo huku mmoja wa mgambo hao (kulia) akiwa na mkoba na kirungu jamboa mabalo lilimshangaza kila mmoja aliyemuona.

No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.