Habari za Punde

*WANACHAMA WA CCM DAR WAANDAMANA KUMPINGA MGOMBEA ALIYEPITISHWA NA KUACHWA WALIYEMCHAGUA

Wanachama hao wakiingia na mabango kwenye Lango Kuu la Ofisi za CCM Makao Makuu Lumumba leo mchana.

Wanachama wa CCM wakiandamana na mabango kuingia kwenye Ofisi za makao makuu ya CCM Lumumba Jijini Dar es Salaam leo mchana kwa kile wanachopinga kupitishwa jina la mgombea ambaye hawakumchagua katika kura za maoni kwenye Kata zao

Katibu Mwenezi wa Siasa, akijaribu kuwatuliza wanachama hao bila mafanikio baada ya kuingia kwenye ofisi hiyo.



No comments:

Post a Comment

SUFIANIMAFOTO Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.